M/RAIS AMJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU MSUYA

MUUNGANO   MEDIA
0



 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamemtembelea na kumjulia

hali Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa David Msuya katika Makazi yake

Upanga Jijini Dar es salaam tarehe 31 Januari 2024.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)