M/RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA TUME YA MIPANGO

MUUNGANO   MEDIA
0



 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akifanya mazungumzo na viongozi wa Tume ya Mipango

wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo Bw. Lawrence Mafuru (kulia)

Mazungumzo yaliyofanyika Jijini Dodoma tarehe 05 Februari 2024.

PICHA B2-B002

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji wa Tume ya

Mipango Bw. Lawrence Mafuru mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika

Jijini Dodoma tarehe 05 Februari 2024.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)