M/RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA NMB

MUUNGANO   MEDIA
0


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akifanya mazungumzo na viongozi wa Benki ya NMB wakiongozwa na

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bi.Ruth Zaipuna mazungumzo

yaliyofanyika Jijini Dodoma tarehe 05 Februari 2024.

PICHA C2-C002

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya

NMB Bi.Ruth Zaipuna mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Jijini Dodoma

tarehe 05 Februari 2024.

 

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)