WAJUMBE WA TUME YA UTUMISHI YA IDARA MAALUM ZA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YATEMBELEA OFISI YA MAKAMU WA RAIS- MTUMBA DODOMA

MUUNGANO   MEDIA
0


1. Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw.

Dustan Shimbo (kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkuu wa Shughuli za

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Dodoma, Bw. Khalid Bakari Hamrani (katikati)

pamoja na Mkurugenzi Msaidizi wa Muungano (Sehemu ya Siasa na Jamii) Cesilia

Nkwamu (kulia) wakati wa ziara ya Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Idara Maalum

za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya katika Ofisi ya Makamu wa Rais

iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo Jumatatu Februari 5, 2024.

2. Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw.

Dustan Shimbo (kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkuu wa Shughuli za

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Dodoma, Bw. Khalid Bakari Hamrani (katikati)

pamoja na Mkurugenzi Msaidizi wa Muungano (Sehemu ya Siasa na Jamii) Cesilia

Nkwamu (kulia) wakati wa ziara ya mafunzo kwa Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya

Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya katika Ofisi ya Makamu

wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo Jumatatu Februari 5, 2024.

3. Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.

Dustan Shimbo (kushoto) akisalimiana na Katibu wa Tume ya Tume ya Utumishi ya

Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Bw. Hassan Haji (kulia) muda mfupi

baada ya kuwasili katika Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali Mtumba

Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo waliyoifanya leo Jumatatu Febtuari 5, 2024.

Katikati ni Mratibu Mkuu wa Shughuli za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Dodoma,

Bw. Khalid Bakari Hamrani na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Kanali Mstaafu Miraji Vuai.

4. Kaimu Mkurugenzi wa Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Hanifa Selengu

(katikati) akizungumza jambo wakati wa ziara ya mafunzo ya Wajumbe wa Tume ya

Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya katika Ofisi

ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo Jumatatu Februari

5, 2024. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Kanali Mstaafu Miraji Vuai

5. Katibu wa Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Bw.

Hassan Haji akizungumza jambo wakati wa wa ziara ya mafunzo ya Wajumbe wa

Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya

katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo

Jumatatu Februari 5, 2024. Kulia ni Mratibu Mkuu wa Shughuli za Serikali ya

Mapinduzi Zanzibar-Dodoma, Bw. Khalid Bakari Hamrani

6. Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasimali Watu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw.

Elisha Msengi (kushoto) akizungumza jambo wakati wa ziara ya mafunzo ya

Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

waliyoifanya katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba

Dodoma leo Jumatatu Februari 5, 2024. Wengine ni Mkurugenzi wa Kitengo cha

Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo na Mkurugenzi

Msaidizi wa Muungano (Sehemu ya Siasa na Jamii) Bi. Cesilia Nkwamu.

7. Mratibu Mkuu wa Shughuli za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Dodoma, Bw. Khalid

Bakari Hamrani (katikati) akizungumza jambo wakati wa ziara ya mafunzo ya

Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

waliyoifanya katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba

Dodoma leo Jumatatu Februari 5, 2024. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa

Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Hanifa Selengu na Katibu wa Tume hiyo

Bw. Hassan Haji.

8. Mkurugenzi Msaidizi wa Muungano (Sehemu ya Siasa na Jamii) Bi. Cesilia Nkwamu

akizungumza jambo wakati wa ziara ya mafunzo ya Wajumbe wa Tume ya Utumishi

ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya katika Ofisi ya

Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo Jumatatu Februari 5,


2024. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya

Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na

Rasilimali Watu Bw. Elisha Msengi.

9. Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.

Dustan Shimbo akizungumza jambo wakati wa ziara ya mafunzo ya Wajumbe wa

Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliyoifanya

katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo

Jumatatu Februari 5, 2024. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasimali

Watu Bw. Elisha Msengi na Mkurugenzi Msaidizi wa Muungano (Sehemu ya Siasa

na Jamii)

10. Kaimu Mkurugenzi wa Muungano Bi. Hanifa Selengu (katikati) pamoja na Mwenyekiti

wa Tume ya Utumishi ya Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Kanali

Mstaafu Miraji Vuai (kushoto) pamoja na Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwa katika

picha ya pamoja muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao baina yao kilichofanyika

katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma leo

Jumatatu Februari 5, 2024.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

 

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)