M/RAIS AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA KARUME ZANZIBAR

MUUNGANO   MEDIA
0



 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili Taasisi ya

Sayansi na Teknolojia ya Karume – Zanzibar kuongoza zoezi la upandaji miti ili

kuhamasisha utunzaji mazingira lililofanyika katika Taasisi hiyo tarehe 09

Februari 2024.

PICHA B2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akipanda mti aina ya Mpilipili Doria katika Taasisi ya Sayansi na

Teknolojia ya Karume – Zanzibar wakati wa zoezi la upandaji miti

kuhamasisha utunzaji mazingira lililofanyika katika Taasisi hiyo tarehe 09

Februari 2024.

PICHA B3

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akimwagilia mti aina ya Mpilipili Doria mara baada ya kuupanda

katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume – Zanzibar wakati wa zoezi

la upandaji miti kuhamasisha utunzaji mazingira lililofanyika katika Taasisi hiyo

tarehe 09 Februari 2024.

PICHA B4

Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama

Mbonimpaye Mpango akimwagilia mti aliyoupanda katika Taasisi ya Sayansi

na Teknolojia ya Karume – Zanzibar wakati wa zoezi la upandaji miti

kuhamasisha utunzaji mazingira lililofanyika katika Taasisi hiyo tarehe 09

Februari 2024.

PICHAB5-B0005

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akizungumza na viongozi, wahadhiri pamoja na wanafunzi mbalimbali

mara baada ya zoezi la upandaji miti lililofanyika katika Taasisi ya Sayansi na

Teknolojia ya Karume – Zanzibar tarehe 09 Februari 2024.

PICHA B6

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na baadhi ya

wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume – Zanzibar mara

baada ya zoezi la upandaji miti lililofanyika katika Taasisi hiyo tarehe 09

Februari 2024.

PICHA B7

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wahadhiri wa Taasisi ya Sayansi na


Teknolojia ya Karume – Zanzibar mara baada ya zoezi la upandaji miti

lililofanyika katika Taasisi hiyo tarehe 09 Februari 2024.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)