MAKAMU WA RAIS AWASILI NYUMBANI KWA MAREHEMU EDWARD LOWASS

MUUNGANO   MEDIA
0


PICHA A1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.

Philip Mpango akiweka Saini katika kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa wakati alipofika katika Makazi ya

Familia Masaki Jijini Dar es salaam tarehe 11 Februari 2024. Kulia ni Mke wa

Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.

PICHA A2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.

Philip Mpango akimfariji mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward

Lowassa ,Mama Regina Lowassa mara baada ya kuwasili nyumbani kwa

familia hiyo Masaki Jijini Dar es salaam. Tarehe 11 Februari 2024.

PICHA A3

Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango akimfariji mjane wa

Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa , Mama Regina Lowassa

mara baada ya kuwasili nyumbani kwa familia hiyo Masaki Jijini Dar es

salaam. Tarehe 11 Februari 2024.

PICHA A4

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.

Philip Mpango akiwafariji waombolezaji mbalimbali wakati alipofika nyumbani

kwa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa Masaki Jijini Dar es

salaam tarehe 11 Februari 2024.

PICHA A5

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.

Philip Mpango akiagana na Mbunge wa Monduli Mhe. Fredy Lowassa ambaye

ni Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa mara baada ya

kusaini kitabu cha maombolezo na kuwafariji wafiwa katika makazi ya familia

Masaki Jijini Dar es salaam. Tarehe 11 Februari 2024.

 

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)