VYAMA VYA USHIRIKA VYAONYWA.

MUUNGANO   MEDIA
0
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI


 

MAKUNGA PETER MAKUNGA

GEITA

 

Afisa Ushirika Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita JACOB FRANCIS amevionya vyama vya Ushirika viache malumbano migogoro na ubadhirifu wa fedha kwani vinakwamisha malengo ya serikali ya awamu  ya sita ya kummkomboa Mwana nchi kutoka kwenye wimbi la umasikini.

 

Habari kamili na MAKUNGA PETER MAKUNGA kutoka Wilayani BUKOMBE

 

Onyo hilo Afisa Ushirika Wilayani hapa JACOB FRANCIS amelitoa wakati akisimamia uchaguzi mkuu wa kupata viongozi wapya wa chama cha Ushirika wa Wachimba Madini ya dhahabu cha Iponya buhabi Mining cooperative society Limited

 

INSERT – JACOB FRANCIS – Afisa Ushirika Wialya ya Bukombe

 

Sambamba na hiyo JACOB FRANCIS amemtangaza EMMANUEL GAMBI kuwa mshindi kwa nafasi ya uwenyekiti kwa miaka mitatu.

 

 Nae EMMANUEL GAMBI ni mwenyekiti mpya wa Iponyabuhabi aliyechaguliwa ameshukuru na kutoa dira kwa kusema.

 

Kwa niaba ya wajumbe wa Bodi na wanachama TABU HUSSEIN, SAMWELI MWITA na ELIZABETH NGAKA wamesema wanaimani na bodi mpya hii wanauhakika itakwenda kurudisha mali zote zilizopolwa na viongozi wa bodi iliyopita.

 

Tags

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)