SAMIA KALAMU AWARD SEKTA YA MAJI

MUUNGANO   MEDIA
0

 



Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mha. Mwajuma Waziri wakitoa tuzo katika hafla ya Samia Kalamu Award 2025

katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam Leo Mei 05,2025. Ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan

Mshindi katika sekta ya maji ni Bw. Adam Hhando mwandishi wa CG FM.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)