Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa wito kuendelea kuhamasisha utoaji wa elimu , ujenzi wa Miundombinu rafiki na jumuishi kwa ajili ya hedhi salama, uwekezaji wa uzalishaji wa vifaa vya hedhi salama na watengenezaji kuweka “package” ya mwanafunzi ili kuwapa urahisi na unafuu katika upatikanaji wa taulo za za kike.