NAIBU WAZIRI MKUU KATIKA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO

MUUNGANO   MEDIA
0





 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akitazama namna Kituo

cha Huduma kwa Wateja kinachosimamiwa na TANESCO kinavyopokea simu na

kuhudumia wananchi wakati alipotembelea kituo hicho tarehe 4 Aprili, 2024 jijini Dar es

Salaam.

nne

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akimsikiliza Kaimu 

Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja TANESCO, Martin Mwambene akieleza namna

Kituo cha Huduma kwa Wateja katika Shirika hilo kinavyopokea  simu  za wananchi na

kuhudumia wakati alipotembelea kituo hicho leo tarehe 4 Aprili, 2024 jijini Dar es

Salaam.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)