MAKAMU WA RAIS AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA PAMOJA SJMT NA SMZ

MUUNGANO   MEDIA
0


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango ameongoza Kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya

kushughulikia Masuala ya Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa Golden

Tulip Zanzibar tarehe 06 Machi 2024.

PICHA A1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.

Kassim Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman

Abdulla, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dotto Biteko, Waziri Nchi Ofisi ya Makamu

wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya

Makamu wa Pili ya Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Mhe. Hamza

Hassan Juma, Katibu Mkuu Kiongozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi

Dkt. Moses Kusiluka , Katibu Mkuu Kiongozi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Mhandisi Zena Said katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri na Manaibu

Mawaziri mara baada ya Kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri

ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)

ya kushughulikia Masuala ya Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa

Golden Tulip Zanzibar tarehe 06 Machi 2024.

PICHA A2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.

Kassim Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman

Abdulla, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dotto Biteko, Waziri Nchi Ofisi ya Makamu

wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya

Makamu wa Pili ya Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Mhe. Hamza

Hassan Juma, Katibu Mkuu Kiongozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi

Dkt. Moses Kusiluka , Katibu Mkuu Kiongozi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Mhandisi Zena Said katika picha ya pamoja na baadhi ya Makatibu Wakuu

mara baada ya Kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya

kushughulikia Masuala ya Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa Golden

Tulip Zanzibar tarehe 06 Machi 2024.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)