UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA KETUMBEINE NA MRADI WA REA LONGIDO

MUUNGANO   MEDIA
0


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akisikilia maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa

Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy kuhusu maendeleo ya miradi ya

umeme vijijini wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini

Awamu ya Tatu Mzunguko wa Kwanza katika Kijiji cha Armanie Wilaya ya

Longido mkoani Arusha tarehe 10 Februari 2024.

B2-B02

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akizindua Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu

Mzunguko wa Kwanza katika Kijiji cha Armanie Wilaya ya Longido mkoani

Arusha tarehe 10 Februari 2024.

PICHA B3

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akiweka jiwe la msingi la Uzinduzi wa Kituo cha Afya Ketumbeine

kilichopo Kijiji cha Armanie Wilaya ya Longido mkoani Arusha. Tarehe 10

Februari 2024.

PICHA B4

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kituo cha Afya Ketumbeine

kilichopo Kijiji cha Armanie Wilaya ya Longido mkoani Arusha. Tarehe 10

Februari 2024.

PICHA B5-B05

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akikagua Kituo cha Afya Ketumbeine mara baada ya kuzindua kituo

hicho tarehe 10 Februari 2024 akiwa ziarani Wilaya ya Longido mkoani

Arusha.

PICHA B6

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akivalishwa vazi la kuwa kiongozi wa jamii ya Kimaasai kutoka kwa

Malaighwanani wa kata ya Ketumbeine mara baada ya uzinduzi wa Kituo cha

Afya Ketumbeine kilichopo Kijiji cha Armanie Wilaya ya Longido mkoani

Arusha. Tarehe 10 Februari 2024.

PICHA B7

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akipokea zawadi kwaajili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka kwa wananchi wa kata ya

Ketumbeine Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha mara baada ya kuzindua


Kituo cha Afya Ketumbeine kilichopo Kijiji cha Armanie. Tarehe 10 Februari

2024.

PICHA B8

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakimsalimia Mama wa

kwanza aliyejifungua kwa njia ya upasuaji katika Kituo cha Afya Ketumbeine

wakati wa uzinduzi wa kituo hicho kilichopo Kijiji Armanie Wilaya ya Longido

Mkoa wa Arusha. Tarehe 10 Februari 2024.

PICHA B9-B0009

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Longido mara baada ya

uzinduzi wa Kituo cha Afya Ketumbene akiwa ziarani mkoani Arusha tarehe 10

Februari 2024.

 

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)