WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS SAMIA SWALA YA EID ADH'HAA.

MUUNGANO   MEDIA
0

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia waumini wa Dini ya Kiislamu, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislamu, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad, akimkaribisha kuungumza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwahutubia waumini wa Dini ya Kiislamu, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipeana mkono na Balozi wa MorocCo nchini, Dkt. Ahamada El Badaoui Mohamed,  wakati wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipeana mkono na Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Hamisu Umar Takalmawa, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipeana mkono na Balozi wa Morocco nchini Zakaria El Goumiri, wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  Swala ya  Eid- Adh’haa na Baraza la  EID-ADH’HAA Kitaifakwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI  uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam Juni 29, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)