Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano la Wachimbaji Madini na Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA) kwenye ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza, Mei 9, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Kongamano la Wachimbaji Madini na Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA) kwenye ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza, Mei 9, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)