WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA WACHIMBAJI MADINI NA MKUTANO MKUU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WACHIMBAJI MADINI TANZANIA Inbox

MUUNGANO   MEDIA
0


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Kongamano la Wachimbaji Madini na Mkutano Mkuu wa  Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA) kwenye ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza, Mei 9, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua Kongamano  la Wachimbaji Madini  na Mkutano Mkuu wa  Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA) kwenye ukumbi wa Rock City Mall jijini Mwanza, Mei 9, 2023 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Tags

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)