Bw.Victor Bwindiki, Mkurugenzi Msaidizi Sera za Elimu Msingi kutoka Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kitaalam cha Ushauri wa Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya na lishe shuleni (TAC) kilichofanyika Mkoani Morogoro.
Dkt. Otilia Gowelle Kaimu, Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kitaalam cha Ushauri wa Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya na lishe shuleni (TAC) kilichofanyika Mkoani Morogoro.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mtoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Sebastian Kitiku akizungumza katika Kikao cha TAC kilichofanyika mkoani Morogoro tarehe 20-21,Juni,2025.
Mratibu wa Mpango wa Taifa wa Afya na Lishe shuleni kutoka Wizara ya Afya Beauty Mwambebule akizungumza katika Kikao cha TAC kilichofanyika mkoani Morogoro tarehe 20-21,Juni,2025.
Mkurugenzi wa Engender Health Moke Magoma akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kitaalam cha Ushauri wa Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya na lishe shuleni (TAC).
Serikali imedhamiria kuwekeza nguvu katika eneo la lishe shuleni.
Hayo yamesemwa Mkoani Morogoro na Mkurugenzi Msaidizi Sera za Elimu Msingi kutoka Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Bw.Victor Bwindiki wakati akifunga Kikao cha Kamati ya Kitaalam cha Ushauri wa Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya na lishe shuleni (TAC).
"Tunashukuru sana Wizara ya Afya kwa kutukutanisha pamoja, hivyo lengo na dhamira yetu ni moja kuwa tunaongeza nguvu katika kuhakikisha Afya na lishe shuleni inaimarika ili watoto wetu wasome bila changamoto yoyote"amesema.
Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Otilia Gowelle ambaye alikuwa mwenyekiti wa Kikao hicho amesema mahali sahihi pa kuwekeza watoto ni shule hivyo kuimarisha afya na lishe ni msingi mkubwa.
"Mahali sahihi pakuwekeza watoto kuwa na afya bora ni shule hivyo ni muhimu sana lishe kutolewa shuleni kwani inamfanya kuwa na utulivu mzuri"amesema.
Wizara za Kisekta zilizokutana ni Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Rais Rais TAMISEMI, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wizara ya Elimu, Wizara ya Mifugo, Wizara ya Mifugo na Wizara ya Afya.
MWISHO.
Hayo yamesemwa Mkoani Morogoro na Mkurugenzi Msaidizi Sera za Elimu Msingi kutoka Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Bw.Victor Bwindiki wakati akifunga Kikao cha Kamati ya Kitaalam cha Ushauri wa Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya na lishe shuleni (TAC).
"Tunashukuru sana Wizara ya Afya kwa kutukutanisha pamoja, hivyo lengo na dhamira yetu ni moja kuwa tunaongeza nguvu katika kuhakikisha Afya na lishe shuleni inaimarika ili watoto wetu wasome bila changamoto yoyote"amesema.
Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Otilia Gowelle ambaye alikuwa mwenyekiti wa Kikao hicho amesema mahali sahihi pa kuwekeza watoto ni shule hivyo kuimarisha afya na lishe ni msingi mkubwa.
"Mahali sahihi pakuwekeza watoto kuwa na afya bora ni shule hivyo ni muhimu sana lishe kutolewa shuleni kwani inamfanya kuwa na utulivu mzuri"amesema.
Wizara za Kisekta zilizokutana ni Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Rais Rais TAMISEMI, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wizara ya Elimu, Wizara ya Mifugo, Wizara ya Mifugo na Wizara ya Afya.
MWISHO.