KUELEKEA UCHAGUZI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WILAYANI RUANGWA MKOANI LINDI.

MUUNGANO   MEDIA
0

 


Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Idara ya Kinga, Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma chini ya Mpango wa Taifa wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Bi. Orsolina Tolage akiteta jambo  na Mganga Mkuu Mkoa Lindi Dkt. Kheri Kagya  Ofisini kwake Mkoani Lindi  leo tarehe 8,Julai,2024.






Wawakilishi kutoka Wizara ya Afya  wapo Mkoani Lindi  kwa ajili ya zoezi la  Uchaguzi  Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii (CHWs)Wilayani Ruangwa  watakoingia kwenye Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii.


#UsibakiNyuma #MtuNiAfya


Fanya kweli Usibaki nyuma,Mtu ni Afya.


Kwa taarifa,Elimu na Ushauri zaidi Piga Simu 199

@ummymwalimu

@mohamed_mchengerwa

@dr_mollel

@ntulikapologwe

@dr.tumainim.haonga

@drtumainihaonga

@wizara_afyatz #afyanimtaji

@changiadamutz

@ortamisemi

@latra_tz

@polisi.tanzania

@unesconatcomtz

#elimuyaafyakwaumma

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)