MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZIKO YA HAYATI ALI HASSAN MWINYI

MUUNGANO   MEDIA
0



 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip

Mpango ameshiriki Maziko ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi yaliyofanyika katika Kijiji cha

Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar. Tarehe 02 Machi 2024

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)