MAKAMU WA RAIS AKIONGOZA WATANZANIA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA HAYATI LOWASSA

MUUNGANO   MEDIA
0



 PICHA A1-A02

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.

Philip Mpango amewasili katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es salaam

ambapo anawaongoza Viongozi na Wananchi katika kutoa heshima za mwisho

kwa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Tarehe 13 Februari

2024.

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)