WAZIRI UMMY AWATEMBELEA MAJERUHI WA MAPOROMOKO MATOPE HANANG

MUUNGANO   MEDIA
0

 




Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo Disemba 29, 2023 amewatembelea majeruhi Watano kati ya 139 wanaondelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara baada ya kutokea maporomoko ya matope na kuuwa watu 89.

Pia, Waziri @ummymwalimu amewaona wagonjwa wengine kutoka wodi ya kina-mama pamoja na wodi ya watoto wakati wa ziara yake Mkoani humo ambapo ametembelea kwa lengo la kuwapa pole na kuwashukuru watoa huduma za Afya kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuokoa maisha ya Watanzania.

Tags

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)