TAMISEMI KAMBA YAIFUNGA MASHTAKA KWA POINTI 2-0.

MUUNGANO   MEDIA
0

 

Na. Asila Twaha, Iringa.

Timu ya wanawake ya kuvuta kamba TAMISEMI  mapema imecheza mechi dhidi ya timu ya mashtaka na kuifunga  timu ya MASHITAKA kwa pointi 2-0 kwenye mechi iliyochezwa  mapema leo asubuhi.


Mara baada ya ushindi Kocha wa timu ya TAMISEMI Chedieli Masinga amesema hadi sasa wanaendelea kufanya vizuri ambapo mpaka sasa  mechi zote walizopangiwa wameshinda  na tayari wanapointi  4 muhimu  katika hatua ya makundi na zimebaki mechi mbili kuingia hatua ya robo fainali.


"Mchezo huu kila raoundi ni dakika moja sawa na sekunde 60 kwaiyo unahitaji umakini na mazoezi "amesema Chediel.






Tags

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)